Mwanamke wa kijijini na ajira

Mwanamke wa kijijini anapatikana katika jamii inayoishi vijijini, wengi wao wanajihusisha na shughuli za kilimo, ufugaji na ujasiriamali; wanafanya kazi kwa nguvu lakini kipato chao ni kidogo. [1]

Wanawake wa namna hiyo hukumbana na vitendo mbalimbali vya kikatili kwa sababu pengine hawaruhusiwi kumiliki ardhi kama wanaume, wengi wao hufanyiwa vitendo hivyo na waume zao pamoja na watu wengine ndani ya familia zao japokuwa wanaleta mchango mkubwa wa kiuchumi katika familia na jamii kwa ujumla.

  1. Kak, Shakti (1994). "Rural Women and Labour Force Participation". Social Scientist 22 (3/4): 35–59. ISSN 0970-0293. JSTOR 3517622. doi:10.2307/3517622. 

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search